Kamanda wa Polisi mkoa waTabora Kamishna Msaidizi wa Polisi Suzan Kaganda leo tarehe 18/04/2014 amefanya Mkutano na waandishi wa habari, na kuzungumzia mambo mbalimbali hasa mafanikio yaliyopatikana katika Operesheni zinazoendelea mkoani Tabora ambapo wahalifu wa  makosa mbalimbali yamekamatwa na watuhumiwa kufikishwa mahakamani. 
 
 Maganda ya risasi ambayo yalitelekezwa yakiwa katika mfuko wa manira.

 RPC tabora akiwaonesha waandishi wa habari katika Press Conferences leo bunduki aina ya gobore ambayo alikamatwa nayo mtuhumiwa
 RPC Tabora Suzan Kaganda - ACP akiwafafanulia waandishi wa habari juu ya pikipiki zilizokamatwa na Polisi baada ya Kuporwa na wahalifu
 RPC Tabora Suzan Kaganda - ACP akiwafafanulia waandishi wa habari juu ya pikipiki zilizokamatwa na Polisi baada ya Kuporwa na wahalifu
RPC Tabora Suzan Kaganda - ACP akiwaonesha waandishi wa habari maganda ya risasi 2256 aina ya SMG yaliyokuwa yametelekezwa na wahalifu. Picha na habari na DC Fakih Abdul
wa ofisi ya Kamanda mkoa wa Tabora.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...