Waziri
wa Biashara Viwanda na Masoko wa Zanzibar, Mhe. Nassor Mazrui (kulia)
akizungumza wakati wa Iftari iliyoandaliwa na Benki ya Exim Tanzania Tawi la
Zanzibar kwa ajili ya wateja wake hivi karibuni. Wengine kulia kwake ni baadhi
ya wafanyakazi wa benki hiyo na wateja walioalikwa katika tukio hilo.
Baadhi ya wafanyakazi na wateja wa Benki ya Exim Tanzania wakijumuika pamoja akatika Iftari iliyoandaliwa na benki hiyo Visiwani Zanzibar kwa ajili ya wateja wake
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...