Mtangazaji wa michezo wa E FM 93.7 Maulid Kitenge akiwa na Gwiji wa zamani wa Real Madrid Luis Figo alipowasili usiku huu jijini Dar es salaam na wachezaji wenzie nyota wa zamani wa timu hiyo ya Hispania ambayo Jumamosi itakipiga na wachezaji nyota wa Tanzania kwenye mchezo wa kimataifa wa kirafiki uwanja wa Taifa
Home
Unlabelled
luis figo atua bongo usiku huu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
nina imani Tanzania itawafunga old realmadrid kwa 5-2 au 2-0 au 3-1 kati ya hizo
ReplyDeleteSure, hii ni nzuri
ReplyDeleteMmmh!!! Kesho ndio kesho!!! Nani kuchukua ushindi
ReplyDeleteKaribu sana mgeni wetu upate kichapo cha wa tz
ReplyDelete