Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pindca na Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai wakiteta bungeni mjini Dodoma, Septemba 2, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Profesa Costa Mahalu wakiteta, bungeni mjini Dodoma Septemba 2, 2014.
Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi akiwasilisha taarifa ya kamati ya Bunge la Katiba, bungeni mjini Dodoma Septemba 2, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wabunge wa Bunge Maalum la Katiba, kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Septemba 2, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...