Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa na mkewe
wakiweka shada la maua katika kaburi la Meja Jenerali mstaafu, Herman Lupogo
wakati wa mazishi yake katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Meja Lupogo alifariki Oktoba 19 katika hospitali ya Jeshi ya Lugalo.
Mke wa marehemu akiweka shada la maua.
Familia ikiweka shada la maua.
Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange akiweka shada la maua.
Mashada ya maua yakiwekwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...