Waziri wa Kazi na Ajira,Mh Gaudentia Kabaka akifungua rasmi semina maalum kwa wamiliki wa hoteli ya nyumba za kulala wageni wa Mkoa wa Dodoma,iliyofanyika kwenye katika ukumbi wa mikutano wa Dodoma Hotel.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa GEPF, Bw. Daud Msangi akitoa neno la shukrani kwa mgeni rasmi mara baada ya ufunguzi wa semina maalum kwa wamiliki wa hoteli ya nyumba za kulala wageni wa Mkoa wa Dodoma,liyofanyika kwenye katika ukumbi wa mikutano wa Dodoma Hotel.
baadhi ya washiriki wa semina hiyo ya wamiliki wa hoteli pamoja na mameneja wa hoteli hizo
Meneja Masoko wa Mfuko wa GEPF,Bw. Aloyce Ntukamazina akiwasilisha mada maalum juu ya sekta ya hifadhi ya jamii na umuhimu wa kujiunga na GEPF.
Meneja wa Kanda Mkoa wa Dodoma,Bw. Josephat Mshana akielezea faida za kujichangia katika mpango wa hiari uliobuniwa na GEPF (VSRS)
Mkurugenzi wa hoteli maarufu mjini Dodoma Royal Village,Bw. Merley Shabiby akikabidhiwa cheti maalum cha ushiriki na msaidizi wa Waziri wa Kazi,Bw. Simon Mwanjali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...