Mchumi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Bw. Lusajo Mwankemwa akielezea sababu za kushuka na kupanda ghafla kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania katika banda la BOT viwanja vya SabaSaba jijjini Dar es salaam Juni 30, 2015
Home
Unlabelled
MCHUMI WA BOT AELEZA SABABU ZA KUSHUKA NA KUPANDA GHAFLA KWA THAMANI YA SHILINGI YA TANZANIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tusubiri tuone kama shilingi itapanda
ReplyDeletemwenzangu anony wa kwanza umesikia kivipi maana sauti iko chini sana au una Bose spika.
ReplyDeleteWell said Mr. Lusajo Mwankemwa
ReplyDeleteankal vipi bao letu la exchange rates?? unalotuwekeaga hapa? linatusaidia sana sisi wadau wako, naomba kila wiki ikiwezekana ili tujue upandaji na ushukaji wa shillingi yetu..
ReplyDeletenatanguliza shukran ankal
Hoja alio itoa kuhusu kuja kwa watalii sehemu ya pili ya mwaka ni ndogo kwasababu tukumbuke kuwa kuna uchaguzi mwaka huu na mara nyingi nchi zetu kunapo kuwa na uchaguzi watalii huwa hawaji.
ReplyDeleteLkn pia uchaguzi utakapo karibia kampeni zikianza pesa nyingi zitatumika kwahiyo shilingi bado huko baadae itaendelea kushuka.
Mchumi Lusajo mwankemwa upo juu safi sana..yan unaeleweka kinomaa
ReplyDelete