Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rajab Luhavi fomu za kuwania Uteuzi wa CCM wa kugombea urais kwenye Ofisi Kuu ya CCM mjini DOdoma leo
Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akizunguza na waandishi wa habari baada ya kurejesha fomu za kuwania Uteuzi wa CCM wa kugombea urais kwenye Ofisi Kuu ya CCM mjini Dodoma leo Juni 30, 2015.Wapili kulia ni mkewe Tunu na kulia ni mjukuu, michele (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Kwanini picha za Mwanachama wa CCM akirudisha fomu za kugombea nafasi kwenye chama chake zitolewe na Ofisi ya Waziri Mkuu ambayo ni Idara ta Serikali?? Tujitahidi kutofautisha majukumu ya mtu binafsi, mtumishi wa umma na mwanachama wa chama!
ReplyDelete