Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Saidi Ali Mbarouk (kulia) akiwa na mwenyeji wake Mwenyekiti wa Makampuni ya Hoteli ya Mark and High Class Group Tanzania Rustam Merani wakingia katika Hoteli yao mpya ya Tausi Palace iliyopo Shangani Mjini Zanzibar.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Saidi Ali Mbarouk  akikata utepe akiwa na mwenyekiti wa Makampuni ya Hoteli ya Mark and High Class Group Tanzania Rustam Merani.
 Mwenyekiti wa Makampuni ya Hoteli ya Mark and High Class Group Tanzania Rustam Merani akimuonesha moja ya vyumba cha Hoteli hiyo Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Saidi Ali Mbarouk mara baada ya kuizundua rasmi.
 Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Saidi Ali Mbarouk akizungumza na Wadau mbalimbali mara baada ya kuzinduliwa Hoteli ijulikanayo kama ‘TAUSI Palace’ iliyopo Shangani, Mji Mkongwe Zanzibar. 
Mwenyekiti wa Makampuni ya Hoteli ya Mark and High Class Group Tanzania Rustam Merani akizungumza na Wageni na Wadau mbalimbali (hawapo pichani) mara baada ya kuzinduliwa Hoteli ijulikanayo kama ‘TAUSI Palace’ iliyopo Shangani, Mji Mkongwe Zanzibar. Picha zote na Makame Mshenga. Picha zote na Makame Mshenga.
Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...