Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (kulia) akikabidhiwa Ngao ya Chuo cha Ukamanda na Unadhimu cha nchini India ambayo alikabidhiwa na Admiral DM Sudan (kushoto). Ujumbe kutoka Chuo hicho ulifika katika Wizara ya Nishati na Madini ili kujifunza masuala ya ukaguzi wa madini.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (katikati) akiwa katika kikao na Ujumbe Chuo cha Ukamanda na Unadhimu cha nchini India (NDC)ulioongozwa na Admiral DM Sudan (Kulia kwa Katibu Mkuu). Ujumbe huo ulifika katika Wizara ya Nishati na Madini ili kujifunza masuala ya ukaguzi wa madini. Kushoto kwa Katibu Mkuu ni Kaimu Kamishna wa Madini, Mhandisi John Shija.
Kaimu Mkurugenzi wa Ukaguzi na Udhibiti wa Uzalishaji na Biashara ya Madini, Mhandisi Godfrey Kasekenya Kutoka Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA),( aliyesimama), akifafanua jambo katika Kikao kilichohudhuriwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Profesa Justin Ntalikwa (wa kwanza kushoto) na Ujumbe kutoka Chuo cha Ukamanda na Unadhimu cha nchini India (NDC) ulioongozwa na Admiral DM Sudan (hayupo pichani). Kushoto kwa Katibu Mkuu ni Kaimu Kamishna wa Madini, Mhandisi John Shija.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...