Jeneza
lenye Mwili wa aliekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Marehemu
Wilson Mbonea Kabwe, wakati wa zoezi la kuaga lililofanyika kwenye
Viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es salaam leo.
Viongozi
Mbalimbali waliohudhulia shughuli ya kuangwa kwa Mwili wa aliekuwa
Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Marehemu Wilson Mbonea Kabwe,
wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali
za Mitaa, (TAMISEMI), George Simbachawene (wa pili kushoto), Mkuu wa
Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, Meya wa Jiji la Dar es salaam,
Isaya Mwita pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi.
Sehemu ya Familia ya
aliekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Marehemu Wilson Mbonea
Kabwe,wakiwa kwenye shughuli ya kuaga mwili wa Mpendwa wao, iliyofanyika
kwenye Viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...