Jeneza lenye Mwili wa aliekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Marehemu Wilson Mbonea Kabwe, wakati wa zoezi la kuaga lililofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es salaam leo.
Viongozi Mbalimbali waliohudhulia shughuli ya kuangwa kwa Mwili wa aliekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Marehemu Wilson Mbonea Kabwe, wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, (TAMISEMI), George Simbachawene (wa pili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda, Meya wa Jiji la Dar es salaam, Isaya Mwita pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi.
Sehemu ya Familia ya aliekuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Marehemu Wilson Mbonea Kabwe,wakiwa kwenye shughuli ya kuaga mwili wa Mpendwa wao, iliyofanyika kwenye Viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...