Basi la mwendokasi T 123 DGW lionekanavyo baada ya kupigwa pasi na Gari ndogo yenye namba za usajili  T543 CUQ , katika makutano ya Barabara ya Msimbazi na Morogoro, Jijini Dar es Salaam leo. Hakuna aliyeumia (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Gari hiyo inavyoonekana baada ya kulipiga pasi Basi la Mwendokasi.
Mmiliki wa Gari hilo  baada ya tukio.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...