Wawakilishi wa  wana- Chuo cha utumishi tawi la Singida  wakipeleka  mashuka 72 kwenye wodi ya wazazi katika hospitali ya Rufaa mkoa wa Singida leo tarehe 22/7/2016 ikiwa ni msaada wao waliojitolea kwa kuchangishana
  Bw. Ramadhani Marijani, kiongozi wa msafara wa wanaChuo cha utumishi tawi la Singida  akipeleka  mashuka 72 kwenye wodi ya wazazi katika hospitali ya Rufaa mkoa wa Singida leo tarehe 22/7/2016 ikiwa ni msaada wao waliojitolea kwa kuchangishana
 Wawakilishi wa Chuo cha utumishi tawi la Singida  wakiwasilisha mashuka 72 kwenye wodi ya wazazi katika hospitali ya Rufaa mkoa wa Singida leo tarehe 22/7/2016 ikiwa ni msaada wao waliojitolea kwa kuchangishana

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...