Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda (kushoto) akimjulia hali mwanafunzi wa Darasa la 4 wa Shule ya Msingi ya Mount Kibo ya Mbezi Beach ya Jijini Dar es Salaam, David Kamoga, anayepatiwa matibabu katika Taasisi ya Tiba, Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI), baada ya kujeruhiwa kwa kugongwa na gari aina ya Hiace eneo la Tegeta, Namanga, Jijini Dar es salaam. Kulia ni baba wa mtoto huyo, Bw. Hudson Kamoga ambaye ni mtangazaji wa Clouds TV. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)
Home
Unlabelled
RC MAKONDA AMJULIA HALI MTOTO WA MTANGAZAJI WA CLOUDS TV ALIYEPATA AJALI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...