Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini, Naibu Kamishna wa Polisi Mohamed Mpinga wa tatu kutoka kulia na Wevyeviti, Wanakamati na Wajumbe wa Usalama Barabarani Nhini wakiangaliana moja shimo la Dhahabu  katika Mgodi  wa Geita (GGM) jana walipokwenda kuutembelea na kujifunza njia wanazotumia katika kuwakinga au kuwaepusha watumishi wa Mgodi huo na ajali zinazoweza kujitokeza maeneo yao ya kazi. 
 Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini, Naibu Kamishna wa Polisi Mohamed Mpinga, alievyaa Tishert  nyeupe  akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa Mgodi wa Geita Golg Mainng(GGM) jana baada ya ziara ya kuutembelea Mgodi huo katika Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani yanayoendelea mkoani Geita.
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini, Naibu Kamishna wa Polisi Mohamedi Mpinga, akimkabidhi zawadi mwanafunzi wa Geita shule ya msingi Suzi John baada ya kushinda katika shindano la uchoraji wa Picha za Usalama Barabarani jana katika  maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani yanayoendelea mkoani Geita.
  (Picha na Trafiki kuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...