Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini, Naibu Kamishna wa Polisi Mohamedi Mpinga wa pili kulia, akimsikiliza  ZTO kanda maalum ya Dar Es Salaam ACP Awadhi J. Haji aliesimama akizungumza katika kikao cha utendaji kazi kilichowahusisha ZTO nchi nzima, kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Alphendo Mkoani Geita kabla ya kuendelea na shughuli za uelimishaji juu ya Usalaam Barabarani wiki ambayo kitaifa inaadhimishwa  Mkoani Humo.
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Nchini, Naibu Kamishna wa Polisi Mohamedi Mpinga wa pili kulia, akimsikiliza  ZTO kanda maalum ya Dar Es Salaam ACP Awadhi J. Haji aliesimama akizungumza katika kikao cha utendaji kazi kilichowahusisha ZTO nchi nzima, kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Alphendo Mkoani Geita kabla ya kuendelea na shughuli za uelimishaji juu ya Usalaam Barabarani wiki ambayo kitaifa inaadhimishwa  Mkoani Humo.
(Picha na Trafiki kuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...