Yanga na Simba zilianza kukutana kwa mara ya kwanza toka mwaka 1937 kwenye ligi ya daraja la pili, Dar es Salaam.

Timu hizi zinakutana zikiwa na wafungaji wa kihistoria kwa pande zote mbili. Mfungaji bora wa muda wote ni  Omary Hussein  “KEEGAN” – Yanga akiwa ana magoli 6.

Magoli aliyafunga katika michezo ifuatayo.
Sept 18, 1982
Yanga 3-0 Simba(alifunga magoli 2)
April 16, 1983
Yanga 3-1 Simba (alifunga goli 1)
Machi 10, 1984
Yanga 1-1 Simba
Mei 19, 1985
Yanga 1-1 Simba
Agosti 23, 1986
Simba 2-1 Yanga

Mfungaji aliyefunga katika mechi tatu mfululiozo ni

1. Kitwana Manara -YANGA
Machi 30, 1968
Yanga 1-0 Sunderland

Juni 1, 1968
Yanga 5-0 Sunderland (goli 4)

Juni 4, 1972
Yanga 1-1 Sunderland

2. Madaraka Selemani – SIMBA
Julai 2, 1994 – Ligi ya Bara
Simba 4-1 Yanga (goli la tatu)

Novemba 2, 1994 – Ligi ya Muungano
Simba 1-0 Yanga

Novemba 21, 1994 – Ligi ya Luungano
Simba 2-0 Yanga (goli  la pili)

3. Amisi Tambwe – YANGA
Septemba 26, 2015
Simba 0-2 Yanga (goli La Kwanza)

Februari 20, 2016
Yanga 2-0 Simba (goli la pili)

Oktoba 1, 2016
Yanga 1-1 Simba

Kufunga bao pekee la ushindi mechi mbili mfululizo 

1. Said Sued  SCUD – YANGA
Mei 18, 1991
Yanga 1-0 Simba

Agosti 31, 1991
Simba 0-1 Yanga

2. Dua Said – SIMBA
Julai 17, 1993
Simba 1-0 Yanga

Septemba 26, 1993
Simba 1-0 Yanga (Ligi ya Muungano)

Mfungaji wa bao la mapema
Abdallah Msamba sek 56
Aprili 26, 1997
Yanga 1-1 Simba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...