"NAMSHUKURU MUNGU KWA KUCHAGULIWA KUSHIRIKI KAMA MSIMAMIZI KWENYE WORLD CUP YA WAPISHI INAYOFANYIKA KILA BAADA YA MIAKA 4 NITAPEPERUSHA BENDERA YA NCHI YANGU TANZANIA NI JAMBO LA KUJIVUNIA SANA".

Mpaka sasa Chef Issa Kapande mbali ya kushinda tuzo nyingi tofauti ndani na nje ya nchi katika fani yake ya upishi pia anashikilia rekodi ya kua Chef Mtanzania Msomi na mdogo kuliko wote aliewahi kufungua na kuongoza hotel ya nyota tano ( Certified Executive Chef) akiwa na umri wa miaka 25 tu. Hili ni jambo la kujivunia sana.

Mola ajaliapo anatamani sana mwaka 2018 aipeleke Tanzanian chefs national team kwenye mashindano haya na anaimani atafanya vizuri tu kwani kuna wapishi wazuri sana nyumbani Tanzania ingawa wamekosa nafasi au muongozo wa kuweza kuonyesha uwezo wao Mungu ibariki Tanzania.
Chef Issa Akiwa na Mr Wyne aliekua FB manager wakati huo.
Tuzo ya heshima kwa kutambua mchango wa chef Issa kwa chakula cha kiafrica ndio tuzo ya mwisho aliopata mwaka jana mwezi wa 10
Chef issa akiwa na jaji mkuu wa mashindano ya kumpata mpishi bora wa mwaka wa Sweden.
Chef Issa Akiwa kazini anamuwekea kuku wa kuoka viungo tayari kwa kuliwa.
Hapa chef Issa Kapande akiwa na management team ya East African All suits hotel alipofungua hotel ya nyota tano na kuandika historia ya kua certified Tanzanian Executive chef katika umri wa miaka 25 tu. Hotel ilifunguliwa na aliekua Makamu wa Rais wakati huo ambaye sasa ni Rais wa Zanzibar,Dkt. Ali Mohamed Shein (katikati walioketi). 

kwa habari zaidi za kombe la dunia la wapishi unaweza zipata hapa http://www.vatel.lu/competitions.php

kwa habari zaidi za mapishi na za chef Issa unaweza like facebook page https://www.facebook.com/pages/Active-chef/509561519067534

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Chef upooooo juu always big up Tanzania

    ReplyDelete
  2. DAH SAFI SANAAAAAA DOGO KAZA BUTI MIMI HUWA NAKUFATILIA SANA TOKA UKIWA KIJANA WE KIBOKO

    ReplyDelete
  3. Chef wewe ni mkombozi wa kina mama mungu akubari ushinde kabisa Taifa lijivunie we all behind you and we really appreciate mchango wako wa kujitolea kufundisha bure.

    Netherlands

    ReplyDelete
  4. Nimeona kwenye website zinashindana national teams Je mbona Tanzania upo peke yako wengine hawa jafaulu kushiriki au inakuaje siielewi hiiiiiiiiiii

    ReplyDelete
  5. The one and only award winning Tanzanian xecutive chef Issa Kapande go go man we all behind you brother

    ReplyDelete
  6. CHEF ISSA NIPO SERIOUS JE UMEOA, NAKUTAKA UNIOE PLEASE PLEASE

    ReplyDelete
    Replies
    1. Kwani wewe ni mwanamke au mwanaume maana bwana issa hujui sex orientation yake.

      Delete
  7. Hureeeeeeee Tanzania juu, chef mzee wa mahanjumati unatutoa kimaso maso ughaibuni we mkali sanaaaaaa chef

    ReplyDelete
  8. Lazima tujenge tabia ya kutambua mchango wa watu walioitetea vyema na kuijengea taifa heshima wakiwa hai chef Issa unastahili sifa kwa juhudi yako binafsi na uwezo na uzalendo ipende nchi yako na mola atakujaalia maisha marefu ya furaha na afya njema pambana mdogo wangu.

    Pro. J P Canada

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...