Nyumba tatu nzuri zinauzwa maeneo ya wazo hill jijini Dar es salaam ambazo zina vyumba vitatu vya kulala kimoja master room, pia kuna public toilet, kitchen na store zipo kwenye viwanja tofauti na kila kimoja kina ukubwa wa square meta 700.
Nyumba zote zina hati , maji ya dawasco na maji ya kisima cha uhakika, umeme wa uhakika. Bei ni rahisi.
kwa yeyote anayehitaji mawasiliano piga 0713776461 na 0756666708.
what is a public toilet in a private house? I am lost, Bongoland
ReplyDeletePublic toilet ni guests toilet sasa ujaelewa nn
Delete