Nyumba tatu nzuri zinauzwa maeneo ya wazo hill  jijini Dar es salaam ambazo zina vyumba vitatu vya kulala kimoja master room, pia kuna public toilet, kitchen na store zipo kwenye viwanja  tofauti na kila kimoja kina ukubwa wa square meta 700. 
Nyumba zote zina hati , maji ya dawasco na maji ya kisima cha uhakika, umeme wa uhakika. Bei ni rahisi.
kwa yeyote anayehitaji   mawasiliano  piga 0713776461 na  0756666708.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. what is a public toilet in a private house? I am lost, Bongoland

    ReplyDelete
    Replies
    1. Public toilet ni guests toilet sasa ujaelewa nn

      Delete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...